Watoto wakiwa katika maandamano ya Maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika tarehe 16/06/2013 katika viwanja vya Nyamagana, Mwanza.
Ibitekerezo (0)
Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Mkoa wa Mwanza-Sekela Richard(Kushoto) na Katibu-Jasmine Jamaly wakiwa kwenye ofisi ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto katika Ofisi yake Jijini Dar es Salaam (Mwezi wa saba 2012)