Envaya

HakiElimu

Amakuru

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
Haki Elimu HakiElimu

Na pesa nyingi zinaenda kwenye majengo na vitu vinavyonunulika kwa sababu huko ndiko kuna 10 percent kwa sababu ukimuongeza mwalimu mshahara

Haki Elimu HakiElimu

#bajetielimu ni muhimu kuangalia katika bajeti hii tumeelekeza kiasi gani kumuongezea mwalimu ujuzi

Haki Elimu HakiElimu

Mwaka huu tunataka waziri wa elimu atuambie ni kiasi gani kinaenda katika kuboresha au zinagusa walimu moja kwa moja #bajetielimu

Haki Elimu HakiElimu

#bajetielimu fedha za PEDP, SEDP nyingi zimeenda kwenye majengo, vitabu n.k. walimu je?

Haki Elimu HakiElimu

Jamii yetu wa watanzania inapenda sifa za kitaaluma mfano anataka aitwe dr fulani fulani #bajetielimu

Haki Elimu HakiElimu

Tafiti zinaonyesha kuwa taifa letu ni la jamii isiyopenda kujifunza jiulize toka mwaka uanze umesoma vitabu vingapi #bajetiyaelimu

Haki Elimu HakiElimu

Hata uwe na majengo kama ya NSSF katika shule zote nchini kama walimu hawana utayari basi hakuna elimu yoyote inayotolewa #bajetielimu

Haki Elimu HakiElimu

Unapochezea mfumo wa elimu unaliandalia taifa kifo na sisi tunaliandalia taifa kifo- Dr Kitila Mkumbo

Haki Elimu HakiElimu

Kigezo cha tatu katika kupima ubora wa elimu ni mitihani ya taifa na matokeo ya mitihani ya taifa- Dr.Kitila Mkumbo #bajetielimu