Parts of this page are in Swahili. Edit translations
tumetoa misaada kawa yatima,tumesha hamasisha jamii kwenda kupima ukimwi,tumesha wanunulia viaa mbali mbali watoto ambo hawakuwa na vyo na kupelekea kutoto kwenda shule na sasa wana hudhuria masomo kama kawaida.
Tumesha wasaidia wanaoishi na virusi vya ukimwi walio athirika kisaikorojia kuweza kujitambua na kuishi kwa ma tumaini na mikakati.
Tumesha wasaidia wanaoishi na virusi vya ukimwi walio athirika kisaikorojia kuweza kujitambua na kuishi kwa ma tumaini na mikakati.
May 19, 2010