Fungua
Indaba Africa

Indaba Africa

Mbeya, Tanzania

BRECKINGNEWS>BAADA YA HALI YA HEWA KUCHAFUKA TUNDUMA, OMARY NUNDU ATOKEA MCHANA HUU



nundu2.jpg
Taarifa zilizoufikia mtandao wa Indaba zinasema, waziri wa uchukuzi Omary Nundu atazungumza mchana huu na madereva wa magari yanayosafiri kati ya Tanzania na nchi zingine kupeleka na kuleta mzigo maarufu kama Transit.
Mkutano huo ni matokeo ya kugomewa kwa jitiohada zote zilizofanywa na viongozi wa mkoa wa Mbeya ambapo mkuu wa mkoa wa Mbeya John Mwakipesile jana alimtuma mkuu wa wilaya kupeleka ujumbe wa kuwataka wasitishe mgomo huo wakati mambo yao yakishughulikiwa, lakini wakati mkuu huyo wa wilaya akisoma barua hiyo alipofikia mwisho akataja imesainiwa na Mkuu wa mkoa wa Mbeya John MWAKIPESILE ghafla wakalipuka kuzoea,

Awali walikuwa wakipiga makofi kwa kila kipengere kilichosomwa, lakini ilipofika hatua ya kusoma aliyeandika waraka huo basi hali ikawa siyo, jambo linaloashiria kuwa walihisi hizo zilikuwa ni porojo za kuwatuliza na si ujumbe kutoka kwenye mamlaka za juu kama walivyotaka.\
Omary Nundu amelazimika kufika leo hii baada ya gari moja lililokuwa likiendeshwa na mtanzania mwenye asili ya somalia kuzuiwa na madereva wenzake likiwa barabarani na kisha wakachomoa funguo na kutokomea nazo, hivyo kuzuia shughuli za barabra kuu ya Tunduma -Mbeya.
Imeelezwa kuwa gari hilo linatumia passwords ama mzingo katika kuliwasha ambapo pia ni lazima funguo iwe halisi ambapo vibonyezeo vyote vipo kwenye funguo hali ambayo ililazimu polisi kuwa wapole kwani walishaanza kubutua mabomu.

Kilicjhotufikisha hapo ni matokeo ya serikali kuchukulia juu juu mgogoro huo ambapo ilionyesha kuto kuupa uzito unaostahili katika kushughulikia zmalalamiko waliyoyatoa madereva yakihusisha haki zao pamoja na baadhi ya kero ambazo tayari zimeanza kupatiwa ufumbuzi.
Madereva hao walianzisha changamoto hiyo tangu  July 17 baada ya kuandika barua kwenda kwa waziri mkuu lakini ikakosa majibu kwa kipindi chote hatua ambayo wakaamua kuchukua maamuzi lakini wakionyana wenyewe kutokujihusisha na uharibifu wa mali.
Hata hivyo taarifa zilizozagaa jana zilianza kuonyesha hofu kubwa baada ya kudaiwa baadhi ya madereva hao wametegesha petroli kulipua magari ikiwa polisi wangetumia mabomu ama kuanzisha operesheni ya FFU, hatua hiyo iling,amuliwa na idara za Inteligensia ambapo magari ya zima moto yaliandaliwa jana kukabili hali hiyo wakati magari ya washa washa yalipokuwa yakizunguka na kutoa tahadahari jana jioni. 
Mtaendelea kuelezwa kinachoendelea kupitia blog hii

CHUO CHA MIPANGO DODOMA KUWA NA JENGO REEFU KULIKO YOTE MKOANI DODOMA

chuo.jpg
Ukumbi wa Mwalimu Nyerere uliopo Chuo cha Mipango Dodoma kama nilivyouona nikiwa kwenye mazingira hayo jana

kitu.jpg
Jengo refu kuliko yote Mkoani Dodoma litakalokuwa na Ghoroga Nane likiwa kwenye hatua za unjenzi nyuma ya Ukumbi wa Mwalimu Nyerere katika chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Dodoma, jamani mipango mie sijui nilie manake enzi nikisoma hapo jamani majengo yalikuwa baado lakini sasa vitu vimeota kama uyoga!!!!

SHULE+UKUBWANI.jpg
Nani kakwambia darasa linaangalia utu uzima, hapa naelekezwa namna ya kuboresha logical frame work! ama kwa kiswahili mnaita Bao Mantiki

draft.jpg
Hapa wazee wangu hawa wa Chuo cha Mipango wakisukuma draft kwa burudani zao wakati wa mapumziko getini, raha kweli!

chuo+cha+mipango.jpg

HII NI DODOMA, MAKAO MAKUU YA TANZANIA

DOM+BWANA.jpg

dodoma.jpg

ANGLICA.jpg
Hapa ni Anglican cathedral

msikiti+dom.jpg

mskiti.jpg
Msikiti Mkubwa uliopo Dodoma karibu na eneo la Chako ni chako, nimeukubali mandhari zake hasa masaa ya jioni

ndege.jpg
Ndege ikitua katika uwanja wa ndege wa Dodoma kama nilivyoinasa nikiwa katika harakati za kuelekea chuo cha mipango
OOO+DOM.jpg
Mnara uliopo karibu na ofisi za TAMISEMI wenyewe tunaita round about

HAYA AKINA MAMA BIDHAA MPYA MNATANGAZIWA




WADAU VIATUZIII HAOOO WAMESHUSHAAA MAMBO NI YALE YALE YA FUNGA KAZI ZA VIATUUUUZIII unyayooooo AMBAPO SASA MABIHARUSIII NA MASHORIII WOOTE WANAOTHAMINI MIGUU YAO...KUTINGA KIATU CHA VIATUZI NI SAWA NA KUUKATIA INSURANCE MGUU WAKO KWANIIII NI VYA UKWE'E hudhuriki MBALI NA VIATU KUNA CLUTCHZ ZILE STYLE MPYA (ENVELOPE CLUTCH) NA BILA KUSAHAU VITUPIOOOOO (ACCESORIEZ)
KUONA ZAIDI MAMBO ZAIDI DUMBUKIA BLOGUNI
WANAPATIKANA:: SEA VIEW PLOT NO.10
MAWASILIANO:: 0715 850855
10.jpg
MABLOCKING COLOR KIBAO....KAJIBLOKUENI

14.jpg


13.jpg


48.jpg


49.jpg


51.jpg


50.jpg


52.jpg


53.jpg


54.jpg


55.jpg


56.jpg


44.jpg


29.jpg


27.jpg


24.jpg


25.jpg


23.jpg


21.jpg


18.jpg


15.jpg


16.jpg


17.jpg


12.jpg


9.jpg


11.jpg


8.jpg


7.jpg


6.jpg


5.jpg


4.jpg


3.jpg


2.jpg


1.jpg
19.jpg


20.jpg


22.jpg


28.jpg


26.jpg


46.jpg


45.jpg


39.jpg
HIZI HAPA NDO ENVELOPE CLUTCH....umeona ee kitu cha bahasha hapo kati

43.jpg


40.jpg


36.jpg


38.jpg


33.jpg


31.jpg


32.jpg


34.jpg


35.jpg


37.jpg


41.jpg


42.jpg

o15OlfnQHas

IGP MWEMA AZINDUZ UVAAJI HELMETI NA KAMPENI YA KUSALIMISHA SILAHA

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP, Said Mwema (katikati) akivishwa helmeti baada ya Taasisi ya Helmet Vaccin Initiative Tanzania, kukabidhi msaada wa helmeti 500 kwa jeshi hilo, wakati wa hafla ya uzinduzi wa uhamasishaji jamii kuvaa kofia hizo wakipanda pikipiki, Dar es Salaam leo katika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

IGP Mwema akikata utepe kuashiria uzinduzi huo
Mkuu wa kitengo cha Polisi cha Maboresho, Lucas Kusima akielezea kuhusu maboresho mbalimbali yaliyofanywa na jeshi hilo
Mkuu wa Oparesheni wa Jeshi la Polisi, Kamishna Paul Chagonja akifafanua mbamo mbalimbali hasa kuhusu oparesheni iliyotangazwa leo na IGP, Mwema ya kusalimisha silaha zinazomilikiwa isivyo halali
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP, Said Mwema (katikati) akiangalia wakati Balozi wa Hiari wa Uvaaji wa Kofia nchini, Ritta Poulsen (kulia kwake) baada ya Taasisi ya Helmet Vaccin Initiative Tanzania, ilipokabidhi msaada wa helmeti 500 kwa jeshi hilo, wakati wa hafla ya uzinduzi wa uhamasishaji jamii kuvaa kofia hizo wakipanda pikipiki Dar es Salaam leo. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Mkuu wa kitengo cha upelelezi wa makosa mtandao, Kasala, akielezea jinsi wanavyopambana na uhalifu huo
Sehemu ya waandishi wa habari na baadhi ya maofisa wa jeshi la polisi wakisikiliza
IGP Mwema akimkabidhi mtangazaji wa EAST AFRICA RADIO, David gumbo kitabu kinachoelezea sheria za umiliki wa silaha mbalimbali nchini
IGP Mwema akijibu maswali mbalimbali wakati wa uzinduzi wa kuanza kuhakiki silaha nchini, uvaaji helmeti na uhamasishaji jamii kutii sheria bila kusurutishwa
Kamishna wa Polisi, Clodwin Mtweve akisisitiza jambo katika mkutano huo
"

ELIAKIM CHACHA MASWI ACHUKUA NAFASI YA JAIRO, WADAU WA TAMISEMI WAMLILIA

EliakimchachaMaswi.jpg
BW. ELIAKIM CHACHA MASWI



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kufuatia Katibu Mkuu wa Nishati na Madini, Bwana David K. Jairo, kupewa likizo kwa muda, Katibu Mkuu Kiongozi, Bwana Phillemon L. Luhanjo, amemteua Bwana ELIAKIM CHACHA MASWI, kuwa KAIMU KATIBU MKUU, Wizara ya Nishati na Madini kuanzia leo tarehe 22 Julai, 2011. Bwana MASWI, kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.Imetolewa na Premi Kibanga,Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,Ikulu.Dar es salaam.22 Julai, 2011
Katika mazungumzo ya hapa na pale kuzungumzia mabadiliko hayo wadau wengi wa TAMISEMI wameonekana kumlilia bwana Maswi kutokana na misimamo yake na utendaji wake ambao uliwezesha halmashauri za wilaya kuchakarika hapa na pale kuhakikisha kuwa zinajiimarika kwa kutenda vyema katika huduma zake kwa wananchi.
wanaeleza kuwa jamaa alikuwa mkali pale anapobaini uzembe na pia hakuwa na lugha za kuficha ficha kwenye makosa na alikuwa akiwafikishia ujumbe moja kwa moja wahusika pasipo kusikiliza majungu hatua ambayo wapiga majungu walikuwa wakiongopa kupiga hodi TAMISEMI kwenda kuchonga umbeya usio na uthibitisho. Kila lakheri Maswi katika ofisi mpya tunakuombea kila lililozuri! Mungu atakuangazia majukumu yao na uongozi wako utukuke!
"

MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA MBEYA YAENDELEA KUPAMBA MOTO


DSC00085.JPG
Askari wa JWTZ wa kikosi cha 44 KJ wakiwa mazoezini kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa jijini Mbeya
DSC00096.JPG
Bendi ya jeshi la Magereza wakiongoza gwaride
DSC00083.JPG
DSC03889.JPG
Ukumbusho wa askari waliokufa vitani 1939 1945
DSC00067.JPG
Wanajeshi wakiendelea na mazoezi
DSC03892.JPG
Mnara huu wa majina ya Mashujaa waliokufa vitani upo katikati ya jiji la mbeya sijui kama nao wataukumbuka kuufanyia usafi maana umezungukwa na nyasi
KUTOKA BLOG YA MBEYA YETU
"