To facilitate, rural and urban access to information through simple and easily accessed systems, blogs being among them.
Latest Updates

Indaba Africa added 2 News updates.
Wanafunzi wa stashahada ya Uzamili wa chuo cha Mipango Dodoma wakichora ramani ardhini ikiwa ni hatua za kutengeneza mpango wa Maendeleo wa kisekta katika Kijiji cha WAMI DAKAWA mkoani MOROGORO. utaratibu huu unawawezesha wanachuo kutoka wakiwa na ujuzi wa kusimamiana kutekeleza miradi ya maendeleo huku wakioanisha na miongozo... Read more
January 7, 2012
Indaba Africa has a new discussion about JE NI KWELI KWAMBA SERIKALI HAIKUTOA UZITO UNAOSTAHILI KWENYE MGOMO WA MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA YA MIZIGO?.
Indaba africa: Kuanzia tarehe 17 hadi 24 July 2011 Madereva wa magari yanayopeleka mizigo nje ya nchi waligoma kwa kile walichokiita serikali kufumbia macho kwa makusudi tatizo la wenye magari hayo kutowapatia mikataba, kutowaajiri na hata kuwaminya katika posho za kupeleka mizigo hiyo nje huku umri ukienda pasipo... Read more
July 29, 2011
Indaba Africa added ELIMISHA to its list of Partner Organizations.
July 29, 2011
Indaba Africa updated its History page.
Indaba africa imeanza mwaka 2007 ikijielekeza zaidi katika kutoa huduma za mwasiliano ya teknolojia ya habari na hasa huduma za Internet katika wilaya ya Mbozi katika mkoa wa Mbeya. Ikumbukwe kuwa wilaya ya Mbozi ambayo kwa idadi ya wakazi wake inachukua nafasi ya kwanza katika mkoa mbeya kwa wilaya zake ambapo... Read more
July 29, 2011
Other Websites
Sectors
Location
Mbeya, Tanzania
See nearby organizations
See nearby organizations