1.Kuunganisha nguvu za jumuiya za kidini Zanzibar katika kukuza maadili mema.
2.Kusaidia kupatikana misaada kwa watu wenye matatizo ya kijamii.
3. Kutatua migogora ya kijamii i;e familia, miskiti nk.
Mabadiliko Mapya
JUMUIYA YA MAIMAMU ZANZIBAR imeumba ukurasa wa Timu.
Amiri: Sh, Farid Hadi Ahmed – N/Amir: (Unguja) Sh Ali Abdalla Shamte – N/Amir: (Pemba) Sh, Ghazali Abdalla Ali – Katibu Mtendaji: Muhiddin Zubeir Muhiddn – N/Katibu (Unguja): Sh, Khamis Yussuf Khamis – N/Katibu (Pemba): Maalim Yussuf Aballa Ramadhan – Mtunza Hazina: ... Soma zaidi
20 Aprili, 2012
JUMUIYA YA MAIMAMU ZANZIBAR imejiunga na Envaya.
27 Mei, 2011
Sekta
Sehemu
Vuga, Unguja Mjini Magharibi, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu