Injira
Mrumate Disabled Centre

Mrumate Disabled Centre

Arusha, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

large.jpg

Kikundi cha Undugu Association kikitoa msaada wa nguo kwa walemavu kijijini Mruwia.

large.jpg

Emanuel Apolinari ni mlemavu, hawezi kutembea, anhitaji pia wheelchair.

large.jpg

Kikundi cha Undugu association kilipotembelea nyumbani kwa Felix Chuwa wakiwa kwenye ziara ya kutoa misaada kwa walemavu katika kijiji cha Materuni na Mruwia.

large.jpg

Hii ni shule ya Sekondari Mruwia, Kwa sasa ina kidato cha i-iv shule hii ni ya serikali lakini ina matatizo mengi hasa madawati kwa ajili ya kukalia wanafunzi, Vitabu hakuna kabisa, pia Walimu ni wachache sana. Tungefurahi kama tunaweza kupata walimu wa kujitolea kutoka nje kupitia, exchanging programs.

Hii ni shule ya Sekondari Mruwia, ina kidato cha 1-4, shida kubwa ya shule hii ni Madawati, na Waalimu. Tungefurahi kama tungepata walimu wa kujitolea kutoka nchi za nje kwa kupitia exchanging programme.

large.jpg

Suzan Jeofrey,is disabled write now she is form two, she need your help.

large.jpg

Siwajibu, she is now attending sewing short course,she need also support to empowering her for self relience.

large.jpg

We support education for A level students. Franscisca Ludovick she need more support for higher education.

large.jpg

Godwin: with mental disability, he is 17 years old. He need your help.

large.jpg

HI Friends, My name is Felix Chuwa, Mrumate Disabled Centre Coordinator. We will appreciate any support from you. Welcome