Base (Swahili) |
English |

Maafisa kutoka Shirika la The foundation for Civil Society la Dar-es-salaam wakiwa katika dhiara yao ya kuitembelea Asasi ya MEECO baada ya kupokelewa kwa maombi yao ruzuku wa mradi wa kujengewa uwezo uliotumwa na jumuiya ya MEECO shati rangi ya chungwa ni Katibu wa jumuiya ya MEECO Nd. Suleiman J. Pandu, kushoto kwake ni M.Kiti kitengo cha Mazingira cha Asasi ya MEECO Nd. Halima Salum na pia ni diwani wa viti maalum
|

Officials from the Organisation of The Foundation for Civil Society in Dar-es-Salaam were in dhiara them to visit institutions of MEECO after receipt of their application grant project of capacity was sent to community MEECO shirt orange is Secretary of the community MEECO ND. Suleiman J. Pandu, his left is M.Kiti Environment Unit of the Organization of MEECO ND. Halima Salum and also a councilor of quota
|