Log in

/Tawa/post/100260: English

BaseEnglish
Interview 8 – 1.Unaishi eneo gani?! – Magulumbasi 'B' – 2.Mtaa wako unahitaji kitu gani sana sana?! – Nyumba zilizoharibika watusaidie kuzirekebisha. Tupewe eneo maalumu la kuweka taka zinazoziba mifereji. Kuta zinazoziba njia ya maji zibomolewe. 3.Mafuriko yameleta athari gani kwenye nyumba unayoishi nna vitu vyako?! – Vitu vyangu vyote vya ndani vimepotea. ...(Not translated)Edit