Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/fmzeituni/topic/123503
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Ni masikitiko yetu kuwa nchi hii sasa siyo Tanzania aliyotuachia marehemu baba wa Taifa,marehemu Mwl.Julius Kambarage Nyerere. – Matukio ya uvunjifu wa AMANI yanazidi kila kukicha.Wito wetu ni kuwa AMANI,tuliyo nayo ni sisi wenyewe tutakaoamua iendelee ama itoweke. – Chonde,watanzania,tujitafakari ni wapi tulipokosea tukaparekebishe maana sisi ni wamoja. – MUNGU IBARIKI,TANZANIA.................
(Bila tafsiri)
Hariri
AMANI YETU KAMA TAIFA,NI SISI TUTAKAO ILINDA WENYEWE.
(Bila tafsiri)
Hariri