Envaya

/fmzeituni/topic/123503: Kinyarwanda: dMYccykxC6J1SwCHcC9YNzVW:content

Base ((ururimi rutazwi)) Kinyarwanda

Ni masikitiko yetu kuwa nchi hii sasa siyo Tanzania aliyotuachia marehemu baba wa Taifa,marehemu Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Matukio ya uvunjifu wa AMANI yanazidi kila kukicha.Wito wetu ni kuwa AMANI,tuliyo nayo ni sisi wenyewe tutakaoamua iendelee ama itoweke.

Chonde,watanzania,tujitafakari ni wapi tulipokosea tukaparekebishe maana sisi ni wamoja.

MUNGU IBARIKI,TANZANIA.................

(Not translated)

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe