Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
ibigo by'abafatanya bikorwa
HakiElimu
Marafiki wa Elimu Dodoma (MED)
RITA
Dira
Dira ya RITA ni kuwa chombo chenye ufanisi katika utoaji wa huduma za usajili, ufilisi na udhamini.
Dhima
Dhima ya RITA ni kusimamia haki kwa usimamizi wenye ufanisi wa kumbukumbu muhimu za maisha ya binadamu, ufilisi na udhamini ili kuchangia katika maendeleo ya taifa.
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) linakusudia katika utoaji wa habari nzuri na thabiti juu ya matukio muhimu maishani, ushirikishwaji wadhamini, utunzaji wa mali chini ya udhamini, za mtu aliyefariki, muflisi, na umri chini ya utu uzima(chini ya miaka 18) ili kuwezesha sheria kuchukua mkondo wake.
RITA ilizinduliwa rasmi tarehe 23 Juni 2006 na kuibadili Idara ya Kabidhi Wasii Mkuu katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, Wizara ya Sheria na Mambo ya Katiba.
Tanzania Early Childhood Development Network(TECDEN)
Amakuru agezweho

Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) hari ibyo yahinduye kuri Washirika paje.
MED inatafuta washirika ambao wako tayari kushirikiana katika kazi mbalimbali. Kama uko tayari kushirikiana nasi tafadhali usisite kuwasiliana nasi wakati wowote. – Kwa sasa washirika wa MED ni:- – OxfarmGB
HakiElimu ya jijini Dar es Salaam
UWEZO.net ya jijini Dar es... Soma ibindi
1 Ukwakira, 2014

Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) yashyize Society for Service to Rural Development in Tanzania ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
1 Ukwakira, 2014

Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) hari ibyo yahinduye kuri Ikipe paje.
TIMU YA MED 2011 – Mr. Davis Makundi - Cordinator – – – ... Soma ibindi
1 Ukwakira, 2014

HakiElimu yashyize BUSOKELO YOUTH DEVELOPMENT FOUNDATION ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
3 Werurwe, 2014


Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) yashyizeho Amakuru agezweho.
MCT YAAHIDIWA MSAADA KUHAMIA DODOMA Na. MED Media Unit – Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi amelishauri Baraza la Habari Tanzania (MCT) kuhamia Dodoma na kuahidi kusaidia juhudi za baraza hilo ili lihamishie... Soma ibindi
14 Gashyantare, 2014


Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) yongeyeho 4 Amakuru agezweho.
Mtaa wa One Way maarufu kwa biashara mbalimbali ukiwa kimya kutokana na maduka kufungwa kuhusiana na mgomo wa wafanya biashara.
12 Gashyantare, 2014


Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) yongeyeho 7 Amakuru agezweho.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya utawala bora kwa wanafunzi wa shule za Wilaya ya Chamwino yanayoendeshwa na MED kwa uhisani wa Oxfam.
11 Gashyantare, 2014

Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) hari ibyo yahinduye kuri Ikipe paje.
TIMU YA MED 2011 – Mr. Davis Makundi - Cordinator – – – ... Soma ibindi
11 Gashyantare, 2014

Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) hari ibyo yahinduye kuri Imishinga paje.
MIRADI MIPYA YA MARAFIKI WA ELIMU DODOMA (MED) 2014 – – – Mradi wa Haki Zangu Sauti Yangu/My Rights My Voice(MRMV) 2014.
Mradi wa vipindi vya Radio 2014.
Mradi wa Youth 2 Youth... Soma ibindi
11 Gashyantare, 2014

Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) yashyizeho Amakuru agezweho.
Kitaifa – Waliofeli kidato cha nne waula, ufaulu sasa waongezeka ... Soma ibindi
27 Gicurasi, 2013