
Kuwepo namba za kudumu za utambulisho wa watahiniwa (PCIN - Permanent Candidates identification number) kumaliza wizi #neshino - TAMANGSCO

Kuundwa mamlaka huru ya kusimamia elimu na mafunzo (Tanzania education and training regulatory authority) kumaliza wizi #neshino -TAMONGSCO

Waliothibitishwa na tume huru kuhusika na udanganyifu/wizi wa #neshino wachukuliwe hatua kali za kinidhamu na kisheria- TOMANGSCO

Pendekezo la kwanza la TOMANGSCO kumaliza tatizo la wizi wa #neshino ni Kuundwa kwa tume huru ya kuchunguza udanganyifu wa mitihani

TAMONGSCO yatoa mapendekezo ya muda mfupi na mrefu kumaliza wizi wa #neshino wakisema ni saratani inayolitafuna Taifa ,fuatilia kuyafahamu

TAMANGSCO hatuko tayari kushirikiana na mmiliki yeyote wa shule ambaye anaendelea kumlinda mkuu wa shule aliyethibitika ktk wizi wa #neshino

Mkoa wa Arusha unaongoza kwa wizi wa #neshino shule binafsi kuwa asilimia 48 ya shule zote zilizotuhumiwa ikifuatiwa na mkoa wa Kagera (13%)

Jumla ya wanachama 31 wa TAMONGSCO ambapo asilimia 61 ni shule za msingi; wametuhumiwa katika swala hili la udanganyifu/wizi wa #neshino

Shirikisho la wamiliki na mameneja wa shule na vyuo visivyo vya serikali (TAMONGSCO) latoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu #neshino
Kila la heri darasa la saba kwenye mitihani yenu ya mwisho
HakiElimu inawaasa wanafunzi, walimu na wadau wote kuzingatia misingi bora katika kipindi chote cha mitihani ya kumaliza elimu ya msingi ikiwa ni daraja moja muhimu linalotakiwa kuwavusha wanafunzi kutoka elimu ya msingi na kuingia elimu ya sekondari.