
@Makambas wanafunzi wengi mashuleni wangependa kufikia ulipofika una ujumbe upi kwao kabla hawafanya mtihani wa #neshino siku ya jumatano

Kwa maslahi ya Taifa wazalendo waungana na kutuma ujumbe kwa taifa kuhusu mtihani wa darasa la saba fuatilia #neshino nawe utume ujumbe wako

@jmkikwete Mheshimiwa Raisi tunaomba ujumbe au salamu zako kuhusu mtihani wa taifa utakaofanyika jumatano maarufu kama #neshino

Msanii wa kizazi kipya nchini Omy Dimpoz "tunawatakia kila lakheri ktk mitihani yao cha msingi ni kuzingatia kile walichojifunza" #neshino

@FidQ Unawaambia nini mashabiki wako ambao ni wadau wa elimu kuhusu mtihani wa Taifa #neshino

@JosephMbilinyi @Profesa_Jay Ujumbe wenu kwa mashabiki wenu kuhusu mtihani wa Taifa wa darasa la saba utakaofanyika jumatano #neshino

Msanii maarufu wa Hip Hop @ChidiBeenz anasema "Maisha Magumu kufaulu elimu lazima" Na wewe unasemaje kuhusiana na mtihani wa #neshino

@SAelloc @knindie @AbdallahPossi @sekajohn @hmbwambo Kwa usahihi zaidi tusubirie majibu ya wenye taaluma ya sheria

dozens of people followed me and 6 people unfollowed me // automatically checked by http://t.co/SaFvd1t8