Log in

/maduu/news: English: WI00029758178E3000021250:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Mapambano dhidi ya umasikini na UKIMWI Ni shirika lisilo la kiserikali lililo anzishwa tangu mwaka 2006 na watu wachache waishio na VVU / UKIMWI wazo la kuanzisha asasi hii lilikuja baada ya kutafakari changamoto mbalambali zinazowakabili watu waishio na vvu /ukimwi ktk maisha yao kwa ujumla Hii ilipelekea kuanzishwa kwa mradi wa bustani ya mbogamboga ili kujipatia mbogamboga kwa ajili ya lishe lakini pia wanachama wameweza kuanzisha mradi wa ufugaji wa mbuzi wa asili wa nyama na maziwa  kazi hizi zote zinaendana sambamba na utoaji wa elimu ya ukimwi kwa jamii mikutano ya hadharo COMMUNITY EVENT kupitia vyombo vya habari na television maduu ina ofisi yake magomeni kagera kata ya ufukoni ingawa ilianza na watu sita kwa sasa ina wanachama ishirini na tano na imesajiliwa tarehe 16 november 2010 act no 24 ya 2002 wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto

The fight against poverty and AIDS is an NGO which is established since 2006 and few people living with HIV / AIDS the idea of ​​establishing an organization of this came after contemplating the challenge mbalambali facing people living with HIV / AIDS ktk their lives in general this resulted in the establishment a project of garden vegetables to obtain vegetables for nutrition but also members are able to establish a project raising awareness of the nature of meat and milk all these works conform along with the provision of HIV / AIDS awareness in the community meetings is Padharo COMMUNITY event through media maduu television news and has her office to beach county Magomeni Kagera though it started with six people now has twenty-five members and registered on 16 November 2010 Act No. 24 of 2002 the Ministry of Community Development Gender and Children


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
May 18, 2011
The fight against poverty and AIDS is an NGO which is established since 2006 and few people living with HIV / AIDS the idea of ​​establishing an organization of this came after contemplating the challenge mbalambali facing people living with HIV / AIDS ktk their lives in general this resulted in the establishment a project of garden vegetables to obtain vegetables for nutrition but also members are able to establish a project raising awareness of the nature of...