Parts of this page are in Swahili. Edit translations
MWENYE KIJIKO HAYAWEE, MWENYE KIKOMBE HAYAA, GUDURIA HAYA!!!!
Na Francis Godwin, Iringa
Wakazi wa Tanangozi na Ihemi katika wilaya ya Iringa vijijini katika harakati za kukinga mafuta kutoka kwenye lori la kusafirisha mafuta lenye namba T 575 AXH lililoanguka na kumwaga mafuta katika barabara kuu ya Iringa-Mbeya eneo la Ihemi, huku polisi wakishuhudia bila kuchukua hatua zozote endapo mlipuko utatokea.
Ni jambo la kushangaza sana kuwa baada ya visa vya watu kulipukiwa na moto wa mafuta ya dizeli au petroli si tu nchini mwetu bali hata nchi jirani kama vile Kenya, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Nigeria nk, licha ya habari na taarifa hizo za kutisha ambazo zimeua maelfu ya watu, watu bado wanasogelea hatari hiyo.
Ni kama vile tahadhari zinazotolewa za kutokukaribia hatari hiyo zinapuuzwa, au watu wana kiburi kwa kujiamini wao ni spesheli na wajuzi zaidi kamwe hawawezi kukumbwa na hatari au ni ujinga ama kutokujali na kusingizia maisha magumu.
Kama hiyo haitoshi, wanaonekana baadhi ya askari nao ambao jukumu lao la msingi ni kulinda usalama wa raia katika hali yoyote, anaonekana kukubaliana na kinachotendeka mbele ya macho yake. Nilitarajia wawe mstari wa mbele kuweka utepe wa njano kuzunguka eneo lenye lori hilo na kuhakikisha yeyote anavuka utepe huo anatiwa nguvuni na kufikishwa mahakamani kwa kuhataria maisha yake, ya jamii na kukiuka maelekezo halali ya askari.
Kweli, "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa!" - Hosea 4:6
Comments (0)
Beyonce and Jay Z Welcome Baby Girl - Ivy Blue Carter

KAMA UMECHOKA KUBEBA WATOTO SASA HII HAIRUHUSIWII!!!
JAMII FORUMS
Mambo 5 usiyoyajua kuhusu China
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikisikia neno China China, hili linamaanisha kila kitu, siku za hivi karibuni neno hili limehusishwa sana na ufake,kutodumu nk. Binafsi nikiwa fans wa made in China, iwe kwa kukosa njia nyingine au urahisi ninaweza kusema machache ambayo nadhani yatakuwa na msaada kwa wengine. Nikiwa Mtanzania niliyeishi China kwa miaka zaidi ya sita, ninapenda kushare nawe mambo machache ambayo wafanyabiashara hawawezi kukuambia kuhusu Made In China.
1. Kuna Vitu China ni Ghali kuliko hata Tanzania
Unaweza kusema kivipi, ila ni kweli, ukiwa Uchina na unataka kupata kitu chenye ubora mzuri, ni dhahiri unatakiwa kulipia zaidi. Binafsi nimekuwa nikipokea simu nyingi mno toka nyumbani wakitaka kunitumia pesa niwanunulia komputa nk. Ukienda sokoni kompyuta ya kawaida ambayo ni bora inaanzia yuan 2000, tena hiyo ni ile ya kiwango cha chiiini kabisa, ila ukiipeleka kwenye dola ni kama mia tatu kadhaa, ukijumlisha na utumaji mpaka inafika nyumbani ni kama dola mia tatu na nusu au mia nne. Hapo ndio unapata kompyuta ya kawaida mno kitu ambacho kwa mtanzania wa kawaida lazima aone ghali kwani akienda sokoni anaona DELL kibao kwa laki tanotano.
2. China kuna bei tatu
Kama umewahi kufika Uchina ni dhahiri utakubaliana nami, ukienda dukani unaulizwa unataka ipi, Hao(nzuri), Yiban(Ya kawaida) Shuihuo(Dump aka fake). Kwenye kila kundi ubora ni tofauti,ingawa kwa macho zote zinaonekana sawa. Pindi ununuapo ni lazima uhakikishe unapata kulingana na mapenzi yako. Hongera kwa wafanyabiashara WENGI wa Kichina ni kuwa, atakuambia. Hii ni nzuri na hii ni mbaya. Pia hata kwenye hiyo nzuri nayo kuna makundi yake humo ndani.hehe. Hivyo kabla hujanunua ni lazima ujue nini unataka na lazima muelewani na muuzaji.
3.Kitu cha 100Yuan si cha 80Yuan.
Kwa wale waliowahi kukutana na Watanzania au wageni kadhaa walioishi Uchina kwa miaka mingi watakubaliana nami, jinsi muda uliokaa China unavyooongezeka ndivyo uwezo na ari ya kupatana bei inavyokwisha. Binafsi ni mara chache mno ukaniona ninapatana bei. Hii ni kwa sababu tayari wanafahamu hili. Kuna siku niliambatana na dada mmoja kununua simu, alipofika kule simu aliyopewa ilikuwa ni ya mia nane, akazidi kupatana (pianyipianyipianyi) basi mwisho yule mchina akakubali, yule dada akasema nachukua hii, mchina aliwaka kama kawekwa petroli. Akibwabwaja "haiwezekani,hii ni ghali nk) mwisho ikabidi mdadaa aongeze pesa.
4. Kuna maduka yanayojulikana kwa ufeki na ubora.
Kila sehemu wana mila na tamaduni zao, ukiwa China, kama unataka kupata kitu chenye hadhi na ubora mzuri basi unashauriwa ukanunue kwenye maduka makubwa, kwa mfano unataka kununua TV ya nyumbani basi nenda kwenye maduka kama ya Sunning, Gomao,carrefour nk kwani mengi ya maduka haya yana mkataba wa ubora na bei na serikali. Kuna kipindi Carrefour walipandisha bei kiholela kwa baadhi ya vifaa vyao, walipigwa faini na ikawacost mno. Binafsi mwaka jana nilinunua simu ya mkononi "Nokia", wiki iliyopita kilitokea kitendo kilichonisukuma kuandika makala hii.
Nikiwa barabarani kwenye pikipiki simu yangu ilidondoka, nikasikia mchina akiita "simu imedondoka" nikasimama na kuangalia kumbe ni simu yangu. Kwa bahati mbaya ilikuwa katikati ya barabara hivyo sikuwa na cha kufanya zaidi ya kuiangalia ikikanyagwa na basi la abiria, baada ya lile basi kupita taa nyekundu ikawaka na nikakimbia kuangalia masalio ya simu, nikaona kioo kimevunjika, nilipoishika nikaona ukiondoa kioo hakuna kingine. Niakajaribu kupiga simu ikawa inaita bila matatizo. Kesho yake nikaipeleka kwa wenyewe Nokia, wakaiangalia wakasema ukiondoa kioo hakuna tatizo. Ni kweli nimebadirisha kioo na sasa inadunda bila wasi.
5. Nokia si sawa na NokIa, pia Samsung si Sunsung.
NImekuwa nikisikia na kuona watu wengi wa nyumbani wakitumia simu wanazoziita Nokia ya Mchina, au Sumsung ya Mchina, hakuna kitu kama hicho huku. Wengi wanaotengeneza hizo simu ni viwanda vidogovidogo ambazo ubora wake ni hafifu mno. Wengi wamekuwa wakiongopewa kuwa inaitwa hivyo kwakuwa imetengenezwa China. Wafanyabiashara wengi wamekuwa wakijilimbikizia faida kwa kununua simu hizo kwa bei ya chee halafu kuwaongopea Watanzania. Chukulia mfano simu ya Nokia E72i inauzwa kuanzia 1800 hadi 2000yuan. Ila kwa zile mbofumbofu aka NoCia(NokIa) inauzwa kwa 500Yuan. Simu hizo sio tu hazina ubora bali pia ni hatari kwa afya yako kwani wakati wowote inaweza kukulipukia, inakulisha mionzi ya ajabuajabu nk.
JAMIIFORUMS

2. China kuna bei tatu
Kama umewahi kufika Uchina ni dhahiri utakubaliana nami, ukienda dukani unaulizwa unataka ipi, Hao(nzuri), Yiban(Ya kawaida) Shuihuo(Dump aka fake). Kwenye kila kundi ubora ni tofauti,ingawa kwa macho zote zinaonekana sawa. Pindi ununuapo ni lazima uhakikishe unapata kulingana na mapenzi yako. Hongera kwa wafanyabiashara WENGI wa Kichina ni kuwa, atakuambia. Hii ni nzuri na hii ni mbaya. Pia hata kwenye hiyo nzuri nayo kuna makundi yake humo ndani.hehe. Hivyo kabla hujanunua ni lazima ujue nini unataka na lazima muelewani na muuzaji.
3.Kitu cha 100Yuan si cha 80Yuan.
Kwa wale waliowahi kukutana na Watanzania au wageni kadhaa walioishi Uchina kwa miaka mingi watakubaliana nami, jinsi muda uliokaa China unavyooongezeka ndivyo uwezo na ari ya kupatana bei inavyokwisha. Binafsi ni mara chache mno ukaniona ninapatana bei. Hii ni kwa sababu tayari wanafahamu hili. Kuna siku niliambatana na dada mmoja kununua simu, alipofika kule simu aliyopewa ilikuwa ni ya mia nane, akazidi kupatana (pianyipianyipianyi) basi mwisho yule mchina akakubali, yule dada akasema nachukua hii, mchina aliwaka kama kawekwa petroli. Akibwabwaja "haiwezekani,hii ni ghali nk) mwisho ikabidi mdadaa aongeze pesa.
4. Kuna maduka yanayojulikana kwa ufeki na ubora.
Kila sehemu wana mila na tamaduni zao, ukiwa China, kama unataka kupata kitu chenye hadhi na ubora mzuri basi unashauriwa ukanunue kwenye maduka makubwa, kwa mfano unataka kununua TV ya nyumbani basi nenda kwenye maduka kama ya Sunning, Gomao,carrefour nk kwani mengi ya maduka haya yana mkataba wa ubora na bei na serikali. Kuna kipindi Carrefour walipandisha bei kiholela kwa baadhi ya vifaa vyao, walipigwa faini na ikawacost mno. Binafsi mwaka jana nilinunua simu ya mkononi "Nokia", wiki iliyopita kilitokea kitendo kilichonisukuma kuandika makala hii.
Nikiwa barabarani kwenye pikipiki simu yangu ilidondoka, nikasikia mchina akiita "simu imedondoka" nikasimama na kuangalia kumbe ni simu yangu. Kwa bahati mbaya ilikuwa katikati ya barabara hivyo sikuwa na cha kufanya zaidi ya kuiangalia ikikanyagwa na basi la abiria, baada ya lile basi kupita taa nyekundu ikawaka na nikakimbia kuangalia masalio ya simu, nikaona kioo kimevunjika, nilipoishika nikaona ukiondoa kioo hakuna kingine. Niakajaribu kupiga simu ikawa inaita bila matatizo. Kesho yake nikaipeleka kwa wenyewe Nokia, wakaiangalia wakasema ukiondoa kioo hakuna tatizo. Ni kweli nimebadirisha kioo na sasa inadunda bila wasi.
5. Nokia si sawa na NokIa, pia Samsung si Sunsung.
NImekuwa nikisikia na kuona watu wengi wa nyumbani wakitumia simu wanazoziita Nokia ya Mchina, au Sumsung ya Mchina, hakuna kitu kama hicho huku. Wengi wanaotengeneza hizo simu ni viwanda vidogovidogo ambazo ubora wake ni hafifu mno. Wengi wamekuwa wakiongopewa kuwa inaitwa hivyo kwakuwa imetengenezwa China. Wafanyabiashara wengi wamekuwa wakijilimbikizia faida kwa kununua simu hizo kwa bei ya chee halafu kuwaongopea Watanzania. Chukulia mfano simu ya Nokia E72i inauzwa kuanzia 1800 hadi 2000yuan. Ila kwa zile mbofumbofu aka NoCia(NokIa) inauzwa kwa 500Yuan. Simu hizo sio tu hazina ubora bali pia ni hatari kwa afya yako kwani wakati wowote inaweza kukulipukia, inakulisha mionzi ya ajabuajabu nk.
JAMIIFORUMS
Zee la nyeti achomoka kwenye klabu ya makapera
Mdau Henry Mdimu a.k.a Zee la Nyeti akionyeshana malavidavi na mai waifu wake
Mdau Henry Mdimu akitambulisha ndugu,jamaa na marafiki zake huku ubavu (mkewe) wake ukisikiliza kwa makini wakati wa utambulisho huo.
kula mamsap wangu wa kufa na kuzikana.
*MAN U YARIVENJI KIDUCHU, YAICHAPA MN CITY 3-2
Mshambuliaji wa Man U, Rooney, akishangilia na beki wake, Evra, baada ya kufunga bao wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika muda mchache uliopita na Man U kuibuka na ushindi wa mabao 3-2.
SHEIN AZINDUA JENOLA UVUVI PEMBA
Rais wa Zazibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Jengo jipya la Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Pemba katika kijiji cha Weni, Wilaya ya Wete Pemba,katika shamra shamra za miaka 48 ya Mpinduzi matukufu ya Zanzibar.
Rais wa Zazibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Jengo jipya la Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Pemba katika kijiji cha Weni, Wilaya ya Wete Pemba, lililojengwa kwa msaada wa Benki ya Dunia,ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 48 ya Mpinduzi matukufu ya Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi,Mussa Aboud Jumbe,akimueleza Rais wa Zazibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,Malengo na madhumuni ,katika sherehe za uzinduzi wa Jengo la Makao Makuu a Wizara ya Mifugo na Uvuvi Pemba,katika kijiji cha Weni,Wilaya ya Wete Mkoa wa Kasakazini Pemba,baada ya kulizindua rasmi sambamba na maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi,Mussa Aboud Jumbe,akimpa maelezo Rais wa Zazibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,wakati alipotembelea Jengo la Makao Makuu a Wizara ya Mifugo na Uvuvi Pemba, lililojengwa kwa msaada wa Benki ya Dunia ,katika kijiji cha Weni,Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba,baada ya kulizindua rasmi sambamba na maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais wa Zazibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akiwapungia mkono wananchi wakati alipowasili katika viwanja vya Jengo la Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Weni Pemba, kulizindua rasmi jengo hilo, lililojengwa kwa msaada wa Benki ya Dunia ,ikiwa ni katika shamara shamra za maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Wananchi kutoka Vijiji mbali mbali vya Wilaya ya Wete Pemba,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi hao wakati wa sherehe za uzinduzi wa Jengo la Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Pemba,lililojengwa kwa msaada wa Benki ya Dunia,pia ikiwa ni shamra shamra za Miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Said Ali Mbarouk,akimakaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,kuzungumza na wnanchi baada ya kulizindua jingo jipya la Wizara hiyo huko Weni Wete Pemba jana,sambamba na kuadhimisha miak 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Picha na Ramadhan Othman Pemba.Furi Furi Dance with Julie Gichuru
![]() |
| Julie Gichuru |
Broadcast By Pres. Jonathan On Deregulation of the Petroleum Sector
Dear Compatriots,
1. A week ago, I had cause to address Nigerians on the security challenges we are facing in parts of the country, which necessitated the declaration of a state of emergency in 15 Local Government Areas in four states of the Federation. That course of action attracted widespread support and a demonstration of understanding. With that declaration, government had again signaled its intention to combat terrorism with renewed vigour and to assure every Nigerian of safety.
The rest of it is blah blah blah, but you can continue to read if you care to...
2. The support that we have received in the fight against terrorism from concerned Nigerians at home and abroad has been remarkable. We believe that it is with such continued support that progress can be made on national issues. Let me express my heartfelt appreciation to everyone who has expressed a commitment to support us as we strive to improve on the country’s security situation, and build a stronger foundation for the future. The recent mindless acts of violence in Gombe, Potiskum, Jimeta-Yola and Mubi are unfortunate. I urge all Nigerians to eschew bitterness and acrimony and live together in harmony and peace. Wherever there is any threat to public peace, our security agencies will enforce the law, without fear or favour.
3. This evening, I address you, again, with much concern over an issue that borders on the national economy, the oil industry and national progress. As part of our efforts to transform the economy and guarantee prosperity for all Nigerians, Government, a few days ago, announced further deregulation of the downstream petroleum sector. The immediate effect of this has been the removal of the subsidy on petrol.
4. Since the announcement, there have been mixed reactions to the policy. Let me seize this opportunity to assure all Nigerians that I feel the pain that you all feel. I personally feel pained to see the sharp increase in transport fares and the prices of goods and services. I share the anguish of all persons who had travelled out of their stations, who had to pay more on the return leg of their journeys.
5. If I were not here to lead the process of national renewal, if I were in your shoes at this moment, I probably would have reacted in the same manner as some of our compatriots, or hold the same critical views about government. But I need to use this opportunity as your President to address Nigerians on the realities on the ground, and why we chose to act as we did. I know that these are not easy times. But tough choices have to be made to safeguard the economy and our collective survival as a nation.
6. My fellow Nigerians, the truth is that we are all faced with two basic choices with regard to the management of the downstream petroleum sector: either we deregulate and survive economically, or we continue with a subsidy regime that will continue to undermine our economy and potential for growth, and face serious consequences.
7. As you all know, the subject of deregulation is not new, we have been grappling with it for more than two decades. Previous administrations tinkered with the pump price of petroleum products, and were unable to effect complete deregulation of the downstream sector. This approach has not worked. If it did, we would not be here talking about deregulation today. I understand fully well that deregulation is not a magic formula that will address every economic challenge, but it provides a good entry point for transforming the economy, and for ensuring transparency and competitiveness in the oil industry, which is the mainstay of our economy.
8. As a President, elected and supported by ordinary Nigerians, and the vast majority of our people, I have a duty to bring up policies and programmes that will grow the economy and bring about greater benefits for the people. Let me assure you that as your President, I have no intention to inflict pain on Nigerians.
9. The deregulation of the petroleum sector is a necessary step that we had to take. Should we continue to do things the same way, and face more serious economic challenges? Or deregulate, endure the initial discomfort and reap better benefits later? I want to assure every Nigerian that whatever pain you may feel at the moment, will be temporary.
10. The interest of the ordinary people of this country will always remain topmost in my priorities as a leader. I remain passionately committed to achieving significant and enduring improvements in our economy that will lead to sustained improvement in the lives of our people.
11. I am determined to leave behind a better Nigeria, that we all can be proud of. To do so, I must make sure that we have the resources and the means to grow our economy to be resilient, and to sustain improved livelihood for our people. We must act in the public interest, no matter how tough, for the pains of today cannot be compared to the benefits of tomorrow. On assumption of office as President, I swore to an oath to always act in the best interest of the people. I remain faithful to that undertaking.
12. To save Nigeria, we must all be prepared to make sacrifices. On the part of Government, we are taking several measures aimed at cutting the size and cost of governance, including on-going and continuous effort to reduce the size of our recurrent expenditure and increase capital spending. In this regard, I have directed that overseas travels by all political office holders, including the President, should be reduced to the barest minimum. The size of delegations on foreign trips will also be drastically reduced; only trips that are absolutely necessary will be approved.
13. For the year 2012, the basic salaries of all political office holders in the Executive arm of government will be reduced by 25%. Government is also currently reviewing the number of committees, commissions and parastatals with overlapping responsibilities. The Report on this will be submitted shortly and the recommendations will be promptly implemented. In the meantime, all Ministries, Departments and Agencies must reduce their overhead expenses.
14. We are all greatly concerned about the issue of corruption. The deregulation policy is the strongest measure to tackle this challenge in the downstream sector. In addition, government is taking other steps to further sanitize the oil industry.
15. To ensure that the funds from petroleum subsidy removal are spent prudently on projects that will build a greater Nigeria, I have established a committee to oversee the implementation of the Subsidy Reinvestment and Empowerment Programme. I sincerely believe that the reinvestment of the petroleum subsidy funds, to ensure improvement in national infrastructure, power supply, transportation, irrigation and agriculture, education, healthcare, and other social services, is in the best interest of our people.
16. Fellow Nigerians, I know that the removal of the petroleum subsidy imposes an initial burden on our people, especially the rising cost of transportation. Government will be vigilant and act decisively to curb the excesses of those that want to exploit the current situation for selfish gains. I plead for the understanding of all Nigerians. I appeal to our youth not to allow mischief-makers to exploit present circumstances to mislead or incite them to disturb public peace.
17. To address the immediate challenges that have been identified, I have directed all Ministries, Departments and Agencies of government to embark immediately on all projects which have been designed to cushion the impact of the subsidy removal in the short, medium and long-term, as outlined in the Subsidy Reinvestment and Empowerment Programme Document.
18. Tomorrow, 8th January, I will formally launch a robust mass transit intervention programme to bring down the cost of transportation across the country. The programme will be implemented in partnership with state and local governments, labour unions, transport owners, and banking institutions, and supported with the provision of funding at zero interest rate as well as import duty waiver on all needed parts for locally-made mass transit vehicles, which will create additional jobs in the economy.
19. We will keep these incentives in place for as long as it takes. I want to assure you that Government will not rest until we bring down the cost of transportation for our people. Let me thank the transporters’ associations that have agreed to reduce transport fares. I have directed the Minister of Labour and Productivity to work with these associations to come up with a sustainable plan to guarantee this within the shortest possible time.
20. In addition, I have ordered the mobilization of contractors for the full rehabilitation of the Port Harcourt –Maiduguri Railway Line and the completion of the Lagos-Kano Railway Line. I have also directed the immediate commencement of a Public Works programme that will engage the services of about 10, 000 youths in every state of the Federation and the Federal Capital Territory. This will create an additional 370, 000 jobs.
21. Government has taken these decisions in the best interest of our economy, so that we not only have benefits today, but to ensure that we bequeath even greater benefits to our children and grandchildren.
22. Let me assure Nigerians that every possible effort will be made to ensure that we march forward, with a collective resolve to build a Nigeria that can generate greater economic growth, create and sustain new jobs, and secure the future of our children.
23. This Administration will aggressively implement its programme to reposition and strengthen our economy, while paying adequate attention to the immediate needs of our citizens.
24. I assure you all that we will work towards achieving full domestic refining of petroleum products with the attendant benefits.
25. As I ask for the full understanding of all Nigerians, I also promise that I will keep my word.
26. Thank you. May God bless you; and may God bless the Federal Republic of Nigeria.









