Fungua
Indaba Africa

Indaba Africa

Mbeya, Tanzania

Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

CHUO CHA MIPANGO DODOMA CHAJIIMARISHA KUTOA HUDUMA ZA USHAURI NA UPANGAJI MIPANGO VIJIJINI

DSC07625.JPG
Maafisa Mipango wanaosomea Stashahada ya uzamili katika Mipango ya Mikoa, Miradi, Mazingira na Utawala Bora hivi karibuni walipiga kambi kwa siku kumi katika kijiji cha Wami Dakawa Mkoani Morogoro kusaidiana na wananchi kutengeneza mipango ya maendeleo ya kijiji hicho. Hapa wanachuo hao wakihamisha ramani  iliyochorwa ardhini na kuiweka kwenye karatasi tayari kwa kuunganisha kitaalamu kutokana na vipimo vya GPS walivyochukua wakati wa matembezi ya kataa ya njia

DSC07613.JPG
Mkufunzi wa chuo hicho Bw Titus Mwageni akisisitiza jambo mbele ya wanakijiji wakati wa utengenezaji wa Mipango hiyo

DSC07630.JPG
Hapa ni eneo la shule ya msingi Wami Dakawa ambapo huduma za maji zimekuwa zikitolewa, miongoni mwa changamoto zilizobainishwa ni pamoja na uchangiaji usio wa tija kuwezesha raslimali maji kuwa endelevu kijijini hapo

DSC07631.JPG
Choo cha shule ya msingi Wami Dakawa ambacho kimejengwa kwa ufadhiri wa taasisi moja ya kigeni ambacho ni cha mfano kwa jamii ya kijiji hicho katika kuendeleza teknolojia ya uvunaji wa maji ya mvua. Pia kupitia mfumo huo shule itakuwa sasa inatekeleza mpango wa taifa wa usafi (osha mikono) unaolenga kujenga tabia ya usafi mtu atokapo haja ili kuepusha magonjwa ya mlipuko na ya matumbo.

Fuel Subsidy Removal Protest March at Nigeria High Commission, London

377492_10150471655921194_726141193_89136379421_10150471652681194_726141193_89136
379857_10150471653101194_726141193_89136409546_10150471655461194_726141193_89136
This one took place today in London. I hear one will take place in New York on Tuesday Jan 10th. Will bring you details...

M5YlBTPOAlg

Beyonce emerges for the first time since birth rumours

1.jpgarticle-0-0F5C264D00000578-920_306x797.jarticle-0-0F5C26AC00000578-262_306x797.j
There were rumours Beyonce had given birth to a daughter called Tiana May Carter...but that's obviously not true, she's still very much pregnant.

fK_oKQ0RU5U

Nigerians should ignore 'black market' Industrial court injunction - NLC

387816_10150583697590729_661120728_11326
Press statement from NLC this evening...
There are rumours circulating that the desperate Jonathan administration has purchased a black market injunction possibly from the National Industrial Court (NIC). The Nigeria Labour Congress (NLC) is not aware of any such injunction, we were not served any paper of court appearance, we were not present in court nor were we represented in any capacity. Also, the NLC was not served any court summons nor were we served any court order.
The cretins in the Jonathan administration imagine that by seeking to drag the judiciary in the mud, they can avert the general strikes, rallies and mass protests that will begin on Monday 9th January, 2012. They cannot make the simple analysis that the whole populace is angry and that Nigerians do not need any group to ask them to protest an evil policy that seeks to impoverish them.
The NLC asks Nigerians to ignore this childish ploy and rumour; there is no going back on next week’s protests and shutdown.
The issue of the strikes, protests and against an obnoxious policy, is not an industrial relations one; it is not between an employer and an employee. Rather it is one between the Nigerian People versus the Jonathan Government.
So if the issue was taken before the National Industrial Court, then it is the wrong place to shop for a black market injunction. To obtain an injunction from a court that has no competent jurisdiction is to try playing ping pong with the judiciary.
Labour reiterates that the constitutional and fundamental right of Nigerians to protest cannot be annulled.
The NLC asks Nigerians to ignore such rumours; the strikes, mass rallies and protests will go on as scheduled. The NLC advises the Jonathan administration to listen to the people or face their justifiable wrath.

Owei Lakemfa
Acting General Secretary

H8eNRigCoxo

large.jpg

Wanafunzi wa stashahada ya Uzamili wa chuo cha Mipango Dodoma wakichora ramani ardhini ikiwa ni hatua za kutengeneza mpango wa Maendeleo wa kisekta katika Kijiji cha WAMI DAKAWA mkoani MOROGORO. utaratibu huu unawawezesha wanachuo kutoka wakiwa na ujuzi wa kusimamiana kutekeleza miradi ya maendeleo huku wakioanisha na miongozo mbalimbaliiliyopo nchini na ile ya Kimataifa.Mmiliki wa Mtandao huu ni miongoni mwa washiriki waliomo kwenye kozi hiyo

HILI NALO NENO: ETI BABU WA LOLIONDO KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA UTAPELI

FPAGEUWAZI2.jpg
  • Eti babu wa Loliondo anafunguliwa kesi za jinai na madai. Anafunguliwa kesi ya jinai kwa kosa la kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kwamba eti aliwahadaa watu kwamba dawa yake inatibu wakati hakuna mtumiaji aliyepona.
  • Pia anafunguliwa kesi ya madai ili aweze kulipa fidia za watu waliopoteza maisha na wote waliosafiri kutoka sehemu mbalimbali huku wakitumia gharama kubwa ili kupata dawa isiyotibu.
Lakini je:
  • Vipi kuhusu mawaziri na vigogo wa serikali waliokuwa wakimiminika Loliondo huku wakiifagilia dawa hiyo kwamba ilikuwa imewasaidia na hivyo kuendelea kuchochea moto wa tiba hiyo? Hawahusiki kwa namna yo yote na "utapeli" huu?
LOLIONDO.jpg
  • Maswali ya kujiuliza katika suala hili ni mengi na yote yanaonyesha jinsi tunavyoendesha mambo yetu kama jamii. Hatuko makini, hakuna uwajibikaji na mambo yetu mengi - hata yale ya muhimu kabisa - tunayafanya kimzahamzaha tu. Kama anavyosema mhusika mmoja katika vibonzo vya Pogo, adui wa maendeleo yetu si mwingine bali ni sisi wenyewe!
  • Jikumbushe habari mbalimbali kuhusu Babu wa Loliondo na "tiba" yake ya kimiujiza HAPA.

Fuel-Subsidy Removal: Air transport to be grounded by Monday

airport.jpg
After an emergency meeting today by the three unions in the aviation industry, the Air Transport Services Senior Staff Association of Nigeria, (ATSSAN), the Nation Union of Air Transport Employee, (NUATE), and the National Association of Aircraft Pilots and Engineer, (NAAPE), Nigeria Air space will be closed and Air transport grounded as NLC commences a nation wide strike on Monday. The three unions have directed their members to withdraw their services by 12 midnight on Sunday January 8th. #OccupyNigeria

qRNaLpvmH6A

Over 50 injured as angry youths attack Muslims in Sapele

Screen-shot-2011-05-14-at-9.37.54-PM1.pn
Following the killing of at least six people at a Deeper Life Church in Gombe last night, over 2,000 angry youths armed with axes, cutlasses went on rampage today Friday 6th in Sapele, injuring over 50 Muslims at the Hausa quarters in Sapele, Delta state. Police have been called to the area...

_VNgItLhGHw

POLISI MBEYA WAPATA MKUU WA UPELELEZI (RCO) MWINGINE

RCO.JPG
Mkuu wa Upelelezi wa Jeshi la Polisi (RCO) mgeni wa Mkoa wa Mbeya Chacha (katikati aliyevalia koti Jeusi), akiwa na mtunza hazina wa MUJATA mkoani Mbeya Kanali Mstaafu Silvester Matiko (kulia) akikaribishwa katika Ukumbi wa Mji mdogo wa Mbalizi katika sherehe za kumuaga aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Jeshi hilo mkoani (RCO) Anacletus Malindisa anayehamia makao makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es salaam
MALINDISA.JPG
Kutoka kushoto aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Jeshi la Polisi mkoani Mbeya (RCO) Anacletus Malindisa anayehamia makao makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es salaam, akifuatiwa na Mwenyekiti wa MUJATA mkoani hapa Chifu Shayo Soja katika sherehe za kumuaga na kumkaribisha RCO mpya.(Picha na Ezekiel Kamanga).