Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

Jamaica will become a republic, new prime minister vows

After taking office in landslide, Portia Simpson Miller pledges to drop Queen as head of state and restore prosperity

Portia Simpson Miller has been sworn in for the second time as Jamaica's prime minister with a pledge to ease poverty, boost the economy, heal political divisions and drop Queen Elizabeth II as head of state.

Simpson Miller, who was prime minister for a year and half until 2007, took the oath of office before roughly 10,000 guests on the grounds of the governor-general's official residence.

The 66-year-old politician scored a dramatic victory in last week's national elections, leading her centre-left People's National party to a 2-1 margin in parliament over the centre-right Jamaica Labor party. Her opposition faction won a dominating 42 seats in the 63-seat legislature, leaving the incumbent party with 21.

Simpson Miller, Jamaica's only ever female prime minister, takes over from Andrew Holness, a 39-year-old Labor MP who led the government for just over two months.

"After being tested and tempered I stand before you today a stronger and better person prepared to be of service to my country and people," Simpson Miller said at the start of a spirited 45-minute speech.

She said her government intended to abandon the British monarch as Jamaica's official head of state and instead adopt a republican form of government. Jamaica declared independence from Britain in 1962 but remains within the Commonwealth and has Queen Elizabeth II as head of state.

"I love the Queen; she is a beautiful lady," Simpson Miller said, before declaring to the audience in Jamaican patois: "But I think time come."

Simpson Miller said she could replace the privy council in London with the Trinidad-based Caribbean court of justice as Jamaica's highest court of appeal. She said this would "end judicial surveillance from London."

She vowed her government would "ease the burdens and the pressues of increasing poverty, joblessness and deteriorating standards of living" while also pursuing a tight fiscal policy and forging strong partnerships with the private sector and international partners such as the International Monetary Fund.

"My administration will work tirelessly that while we try to balance the books we balance people's lives as well," Simpson Miller said.

Jamaica has a punishing debt of roughly $18.6bn, or 130% of GDP.

In the short and medium term the prime minister said her administration would use "state resources" to stimulate jobs through an emergency employment programme that was the centerpiece of her party's campaign manifesto.

Her People's National party has said it will try to renegotiate roughly 25% of a troubled $400m road program financed by China in order to transfer some of the money to the employment programme.

The prime minister urged Jamaicans to create a more civil and respectful society and earnestly strive to make the best of themselves.

"We will seek to make this country one of brothers and sisters, not of rivals and victims," she said.

After her speech, Simpson Miller elicited laughter from the audience by dragging a slightly embarrassed-looking Holness, now the leader of the opposition, to the podium and saying she was his "second mother".

Holness had been elected unopposed to succeed Bruce Golding as head of the ruling Jamaica Labour party, becoming prime minister in the process. Golding, 63, stepped down because of fallout from his handling of the extradition of Jamaican gang leader Christopher "Dudus" Coke last year.

After initially fighting Coke's extradition to New York on drug-trafficking charges, Golding's administration bowed to US pressure in May 2010 and sent police and the military in to arrest him. Seventy-six people died in the ensuing gun battles between government forces and Coke's supporters.

SUPU YA KAROTI MASUALA YA MAMILOMILO

carrot soup with miso and sesame

I hadn’t meant for this soup to be so quintessentially early January — that would be, virtually fat free, dairy free, gluten free (miso dependent), vegan and the very picture of healthful do-gooding. It’s about one cube of tofu away from earning a halo or at least being surrounded by singing cherubs. In fact, if you advertised a soup to me with all of those qualities, I’d probably run in the other direction because I am a dietary heathen, and I love butter, even if overdoing it in December now requires it in moderation. For the rest of time.

looks like january carrots, trying to be artsy

In fact, the reason why I made this soup is because, in general, I don’t find carrot soups all that interesting and wanted to challenge myself to make one I’d love, and eat often. I turned to one of my favorite dressing recipes for inspiration — the ginger-carrot-miso awesomeness most of us know from sushi restaurants — and decided to mash up a miso and carrot soup.

ribbons of peels

... Read the rest of carrot soup with miso and sesame on smittenkitchen.com


SOMA NOTISI ZA KUPUNGUZA KITAMBI

A Half-Hour Walk Can Make a Big Difference, Even If It’s Your Only Activity [Video]: Ideally, it would be easy to make sure we all got the exercise our bodies need every day, but in reality it can be difficult, what with competing demands and obligations at work and at home. If you're looking for a way to get started making a positive change for your health, this visual lecture explains why the one small change you can make with the most impact is to walk for a half-hour every day. More »


5 Unusual Ways to Raise Successful Children

This is a guest post from Natalie Peace of PeaceAndProfit.com. She is the author of 30 Keys to Building a Multi-Million Dollar Business: What They Didn’t Teach Me in Business School. Natalie is an entrepreneur, business coach, and she’s currently writing a book on how to start a wildly successful business.

Looking at the businesses I’ve built, managed, and sold (worth $2 million) by the age of 30, I’ve been reflecting lately on what set the foundation for my achievements so that I can help others experience financial security and abundance. I believe my success is the result of an unusual childhood, and a few unique things my parents did to set me up for success.

1. Give incentive to learn from the masters My father actually paid me $2 to listen to each chapter of an audiobook and then summarize the main points in my own words, so I wound up listening to dozens of audiobooks throughout my childhood. (I didn’t get paid for chores as they were simply expected of me.) The trick was that he would choose books on management, wealth building, and personal growth.

I was four years old when he started this, and as a result I became fascinated with human potential and manifesting wealth long before I was even old enough to have a paper route or babysitting job. All this knowledge seeped into my young, fertile brain and shaped my subconscious, priming me to be a confident entrepreneur and manager. People often tell me about great, classic books they read by people like Napoleon Hill, Og Mandino, Denis Waitley, and Zig Ziglar and I smile, fondly recalling my experience listening to those masters.

2. Encourage questions Both of my parents went out of their way to make sure I felt heard, understood and valued. They would explain to me what was interesting and important about anything I was saying and would then expand on the topic with their own knowledge. And they were always willing to answer the million “why” questions I asked, with real answers. They never responded “because I said so.

3. Provide unconditional love Researcher Brené Brown talks about the concept of teaching children that they are worthy of love and belonging, rather than telling them they’re perfect. This is a big distinction, and I believe I’m a good example of why this works. There will be days when the world is going to chew you up and spit you out. People are going to laugh at you and call you names, and they will reject you and your ideas. Knowing all of this will happen to your child and insisting that they are perfect no matter what will not help them.

No one is perfect. We don’t need to be! Instead, we can learn to hear feedback from others through a filter that says we’re completely lovable as we are. If we know for certain we are lovable regardless of what people do or say to us, we can then hear criticism and search it objectively for meaningful clues on how we can improve. My mom has always shown me a great deal of love and affection, and it’s certainly one of the biggest secrets of my success.

4. Show the importance of a strong work ethic When I was a teenager, Dad had me mowing his yard, which was a sprawling acreage back then. Of course I had more fun things to do than household chores, so I got it done as quickly as possible. One day when I had finished, he thanked me and told me he wanted to tell the neighbors about my mowing skills, so they would hire me to do their yards as well.

The prospect of making cash appealed to me, so I was all ears. My dad then said, “Let’s take a look at the yard now. Are you happy with how it looks? Would you sign your name to this job, proudly telling people you did it?” As I surveyed my hasty mowing efforts, it was plain to see that I had left behind several tufts and swatches of grass. I realized that no one who’d seen this would hire me to take care of their yard. My dad could have yelled at me for being lazy, but he chose instead to demonstrate the benefit of a solid work ethic.

5. Teach kids to be powerful I was not allowed to indulge myself in negative self-talk. I was shown how to cancel negative beliefs (like “I can’t do this”), and replace them with positive ones, focusing on the desired outcome. I started doing visualization exercises and focusing on goal-setting at the age of five, beginning with small goals like teaching my dog how to sit and saving up to buy a bike. When I had success achieving these goals, it gave me the confidence to reach for bigger things, with the belief that I would attain them.

I was encouraged to set goals in all areas of my life — when I was six, I wanted the training wheels off my bike and knew it would take practice to get there. When I was 12, I set a goal to take a babysitting course so I could earn money. When I was 13, I set a goal of being a really good friend.

You can help your kids set goals in areas they’re genuinely interested in, as well as set goals they would probably achieve anyway (like passing second grade). Get them to write down these goals somewhere they’ll see them every day, and check them off when they’re complete. When I did this as a kid, it gave me enormous satisfaction. (It still does today!)

As a result of a somewhat unique upbringing — thank you, Mom and Dad! — I don’t have a fear of success, and I know that creating abundant wealth is possible. What other unusual and effective parenting methods have you used or observed to set kids up for success? Share them in the comments!

UYOGA WAUA KIGOGOA AUSTRALIA

Poisonous Mushrooms Death: Chef And Assistant Die In Australia:

CANBERRA, Australia -- A chef and assistant from China died after eating poisonous mushrooms in a meal they prepared for a private dinner at a restaurant in Australia's capital.

Chef Liu Jun, 38, and his female kitchen hand Tsou Hsiang, 52, died from liver failure at a hospital Tuesday night after eating death cap mushrooms on New Year's Eve at Canberra's Harmonie German Club.

Read More... More on Australia

xLcslFzRorM

Wabunge Dar ‘wafyata mkia’ kwa Dk Magufuli

magogon.jpg
WABUNGE wa Mkoa wa Dar es salaam wamenywea kwa Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, huku wakieleza kusubiri majibu ya malalamiko yao kutoka kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.Mwenyekiti wa wabunge hao, Abbas Mtemvu, alisema kinachofanywa na Waziri Magufuli ni maoni yake, lakini wao wanasubiri majibu ya Pinda. Mtemvu alisema uwezo wa kumjibu wanao, lakini kutokana na kuandika malalamiko yao kwa waziri mkuu watakuwa wanavunja kanuni.Alisema alisikiliza kwa makini hoja za Dk Magufuli, lakini kutokana na kumwandikia barua Pinda watajibu pindi watakapopata majibu hayo. Mbunge huyo alisema Ofisi ya Waziri Mkuu inatarajia kutoa majibu kuazia kesho, hivyo baada ya kupitia majibu hayo watatoa msimamo wao. Hata hivyo, wakati wabunge hao wakipinga kupanda kwa nauli hiyo ya Sh200, kifuko cha Misungwe mkoani Mwanza kinatoza Sh400. “Sasa nitazungumza nini maana anachoongea waziri sijajua, lakini ninachosema hapa hebu tusubiri waziri mkuu ili tuweze kumjibu maana tuanalo la kujibu,” alisema.Aliwataka wananchi wawe watulivu maana kuanzia kesho majibu yatatolewa na Pinda kutokana na malalamiko yao.Dk Ndungulile akata tamaa Naye, Mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndungulile, alisema Dk Magufuli amebeza wananchi wa Kigamboni, maana kinacholalamikiwa siyo tangazo la kupandisha nauli, bali mchakato uliotumika kufikia uamuzi huo. Dk Ndungulile kinachosubiriwa hapa na wananchi siyo kushuka kwa nauli, bali kuangalia makundi maalumu yanayotumia kivuko hicho jinsi yatakavyosaidiwa. “Nimemsikiliza Waziri Magufuli kwa makini sana, lakini ameshindwa kujua watu gani wanokwenda kufaidika na watu gani watakaoathirika na ongezeko hilo,” alisema.

MAVAZI YA UTANDAWAZI NA ATHARI ZAKE.................................

Nusu+uchi.JPG
MWANADADA aliyevaa kaptula fupi akiwa anaokolewa na wasamalia wema katika eneo la Mwanjelwa Jijini Mbeya baada ya wananchi kumzomea huku wengine wakithubutu kutaka kumpiga wakipinga vazi hilo ambalo mabinti wengi wanaamini kuwa ni vazi la kisasa........... kutoka Tanzania yetu

*MDAU HAWA NDIYO WASANII WETU BIFU HILI CHANZO NINI?

rei.jpg
Chuki, Husda huanzia mbali na husababishwa na kitu kidogo tu, sasa hatua waliyofikia wasanii hawa vipenzi vya mashabik wa Bongo Movie, ni 'hakunaga mjinga' baina yao bado kutoleana 'vimiguu vya Kuku' tu

Hamad Rashid aitunishia misuli CUF, asema yeye bado ni mbunge

MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed, amepinga uamuzi wa Baraza Kuu la Uongozi la Chama Cha Wananchi (CUF) kumvua uanachama, akisema ni batili na umekiuka amri ya Mahakama.
Wakati Hamad akitoa tamko hilo, Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa amekilipua CUF, akisema uamuzi wake wa kumfukuza uanachama Hamad, haukuzingatia maslahi ya wapiga kura wa Jimbo la Wawi, bali matakwa ya wachache ndani ya chama hicho. Licha ya kuwepo zuio la mahakama, juzi Baraza Kuu la Uongozi la CUF, lilimvua uanachama Hamad Rashid na washirika wake watatu ambao ni Mjumbe wa Baraza Kuu (Tanga), Doyo Hassan Doyo, Mjumbe wa Baraza Kuu (Pemba), Shoka Khamis Juma na Juma Saanane ambaye ni Mjumbe wa Baraza Kuu Unguja. Hatua hiyo ilimfanya Hamad kuitisha mkutano na waandishi wa habari jana na kutoa tamko kuhusu uamuzi huo ambao aliuita kuwa ni batili kutokana na kukiuka amri ya Mahakama kuzuia mkutano. Alisema muda mfupi kabla ya tangazo la kufukuzwa kwao uanachama, Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa amri ya kuzuia kuendelea kwa kikao cha Baraza kuu, lakini baraza hilo lilikaidi na kuwafukuza. Mbunge huyo alisema: “Niliwaomba wanipe muda wa kujitetea kama wao walivyochukua muda wa kunihukumu, wakakataa. Kikao kile kilikuwa na watu wazito kama Waziri wa Sheria wa Zanzibar, Jussa, Taslima na Makamu wa Rais wa Zanzibar, wote wakiwa wanasheria, lakini wameshindwa kufuata sheria.” Hamad Rashid alihoji, “Kiongozi wa Serikali kama Maalim Seif anakataa kutii amri halali ya mahakama? Akija kuwa rais itakuwaje? Nimeogopa sana?” Hata hivyo, Hamad na wenzake walisema wataendelea kupigania haki yao ndani ya CUF mpaka ipatikane."Tunaheshimu uamuzi wa Mahakama. Kwa amri hiyo uamuzi wa Baraza Kuu ni batili. Bado sisi ni wanachama halali..., bado mimi ni mbunge na tuna mashiko ya kuendelea kufanya kazi za chama,” alisisitiza. Alisema, “Jana (juzi) nilipata simu zaidi ya 15 za wanachama kutoka mikoani akiwemo aliyekuwa mbunge wa Chadema Jimbo la Tarime, Charles Mwera wakiniunga mkono." "Wana CUF mikoani wametangaza kutuunga mkono. Mwanza wameandaa maandamano, Tanga wamesema hadi leo jioni watakusanya kadi 2,000 kwa Dar es Salaam Temeke wameshakusanya kadi 600 na mikoa mingine mingi”. Alisema hukumu dhidi yao ilikuwa imeshaandaliwa hata kabla ya kusikilizwa na kwamba hata Kamati ya Nidhamu iliyowahoji haikuwa halali kikatiba. “Tumefanya mabadiliko ya Katiba ya chama mara mbili. Kifungu cha 81 cha Katiba ya chama kinaitaka Kamati ya Katiba iidhinishwe na Baraza Kuu, lakini wajumbe wote wa kamati ile wanakaimu nafasi zao. Makamu mwenyekiti wa chama huyo huyo ndiyo aliyeongoza kikao cha Kamati ya Nidhamu na huyo huyo ndiye aliyeongoza Baraza Kuu kutuhukumu,” alisema. Alisema Baraza Kuu halikutenda haki ya kusikiliza kila upande na kuongeza: “Kwa kuzingatia ‘natural justice’, Baraza Kuu limepoteza uwezo wa kusikiliza na halina sifa ya kutenda haki. Baraza hilo lenye wanasheria wengi, lakini halikutupa nafasi ya kutusikiliza.” Tuhuma dhidi yake Kuhusu tuhuma alizopewa kabla ya kufukuzwa, alisema Kitabu chake cha ‘Yaliyojiri’ alichokitunga mwishoni mwa mwaka jana ndicho kimesababisha yote.Katika kitabu hicho, Hamad ameweka barua aliyowaandikia viongozi wa chama hicho akiwaeleza mwenendo mbaya wa chama hicho. Hata hivyo, Hamad Rashid alisema uongozi wa chama hicho akiwemo mwenyekiti Profesa Ibrahim Lipumba, walimwonya asiendelee kukisambaza kitabu hicho naye akaacha. “Hivyo nimehukumiwa kwa kutoa kitabu hicho wakati tayari nilishaacha kukisambaza. Fedha iliyotumika kutufukuza ingetosha kabisa kugharimia matawi mikoani. Waulizeni nguvu waliyotumia kwenda Mwanza, kuzunguka Zanzibar, Lindi na Mtwara yote kuwaambia kuwa eti Hamad ni msaliti” alisema na kuongeza:, “Mimi kama nimetumia fedha basi ni Sh 500,000 tu, 250,000 kuimarisha tawi la Kosovo na nyingine tawi la Chechnya. Fedha za walipa kodi na michango ya wabunge yote imetumika kunishitaki mimi niliyejitolea kusema ukweli.” Kauli ya Tendwa Kwa upande wake Tendwa, alisema uamuzi huo wa kumfukuza Hamad Rashid ambaye ni mbunge wala kujali maslahi ya wapiga kura wa Wawi bali maslahi ya chama. Tendwa alisema hayo jana Ikulu jijini Dar es Salaam alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari baada ya kuhudhuria hafla ya kuwaapisha viongozi wapya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Alisema ni muhimu vyama vikaweka maslahi ya wapiga kura mbele kwa kuwa, ndiyo wanaomchagua mwakilishi wao na si chama kinachowachagulia. "Tunaweza tukabadilisha mifumo ya uchaguzi, chama kinapomfukuza mbunge ni lazima kimfikirie mpigakura atakuwa katika hali gani na pia suala la gharama lazima lifikiriwe,"alisema Tendwa. Msajili huyo mwenye dhamana na ustawi wa vyama vya siasa nchini, alisema ni muhimu mpigakura akapewa nafasi ya kufanya uamuzi huo kama anavyofanya wakati anapomchagua mbunge wake. "Busara inahitajika katika kufanya uamuzi huu ili isiwe ni tabia na desturi ambayo tunajiwekea,"alisema Tendwa. Mwenyekiti wa UDP na mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo alisema walichofanya CUF ni kukiuka sheria mama ya nchi ambayo ni Katiba. Alisema kwa mujibu wa Katiba, mbunge atakaa katika kiti chake kwa miaka mitano na utaratibu wa kumwondoa ni katika Uchaguzi Mkuu. "Katika nchi tuna sheria mama ambayo inatamka rais atatawala miaka mitano ukimwondoa hapo katikati unatafuta matatizo hivyo kwa mbunge,"alisema Cheyo. Alisema kitendo kilichofanya na CUF na NCCR ni kutafuta matatizo nchini na vurugu badala ya kujenga demokrasia. CUF: Hatuendeshwi na Mahakama Kwa upande wa uongozi wa CUF umetetea uamuzi wake wa kuwafukuza wanachama wake wanne na kuwaonya wengine 10, huku kikisema kimezingatia katiba yake. Chama hicho pia kimekanusha madai ya kupokea amri ya mahakama ya kuzuia mkutano huo, uliomalizika juzi kwa kuwafukuza wanachama wanne na kuwavua nyadhifa za uenyekiti na wanachama wanne. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, Julius Mtatiro alisema: “CUF hatujapokea pingamizi la Mahakama kuzuia mkutano wa Baraza Kuu na kama amri hiyo ingekuwa sahihi kama tungeletewa juzi, (Jumatatu) na si siku ya mkutano.” Mtatiro alisema kimsingi, mahakama haina uwezo wa kuzuia mkutano wa chama cha siasa kama ulikwishaanza kwa kuwa chama hakiongozwi na mahakama. “Mahakama yoyote haina uwezo wa kuzuia mkutano wa chama cha siasa uliokwishaanza, chama hakiongozwi na mahakama bali kila chama kinaongozwa na katiba za vyama vyao ambazo zinatambuliwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,” alisema Mtatiro. Katika mkutano huo, CUF kilitangaza kuwavua uenyekiti wanachama wake wanne katika Wilaya za Ilala, Temeke jijini Dar es Salaam na Nachingwea Mkoa wa Lindi. Waliovuliwa nyadhifa zao za uongozi ni waliokuwa wenyeviti katika Wilaya za Ilala, Don Waziri, na katibu wake Masaga Masaga, Temeke, Mohamed Albadawi na mwenyekiti wa Nachingwea, Haji Nanjase. Mtatiro alisema baraza lilipokea majina ya watuhumiwa 14 akiwamo Hamad Rashid na baada ya kuwahoji lilijiridhisha kwamba 12 kati yao walivunja katiba ya chama. Alifafanua kwamba, wajumbe wanne akiwamo Hamad Rashid wamefukuzwa uanachama na kuanzia sasa si mbunge kupitia chama hicho. “Kuanzia sasa Hamad Rashid si mwakilishi wa wananchi wa Wawi kupitia CUF, akitaka kuendelea kuwa Mbunge anapaswa kuwa mwakilishi kupitia mahakamani,”alisema Mtatiro. Mwanasheria Kwa upande wake ofisa mwandamizi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Harod Sungusia alisema tabia ya vyama vya siasa kuwafukuza uanachama wanachama wake, inatokana na matokeo ya mmomonyoko wa utawala wa sheria.Sungusia alisema hayo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akitoa maoni kuhusu chama cha CUF kumfukuza uanachama mbunge huyo wa Wawi. Alisema vyama vya siasa vimekuwa vikifanya uamuzi kwa kujali maslai yao binafsi, ndio maana vimekuwa vikileta msuguano ndani vya vyama na kusababisha wengine kufukuzwa. “Kama wabunge wanatumia vizuri chombo chao cha kutunga sheria, wanaweza kuondoa matatizo haya kwa kutunga sheria ambazo zitawasaidia wananchi pamoja na kuwapa miongozo mizuri katika kazi zao ndani ya Bunge na nje ya Bunge,” alisema Sungusia.

Askofu Kilaini: Ndugai jibu hoja

Thursday, 05 January 2012 21:04
Waandishi Wetu Mwananchi ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Mhashamu Methodius Kilaini, amemshangaa Naibu Spika Job Ndugai kwa kile alichoeleza kuwa amekwepa kujibu hoja ya msingi ya Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye inayohusu nyongeza ya posho za wabunge, badala yake, ameshambulia kiongozi huyo kama mtu binafsi. "Sumaye kama mwanadamu anaweza akawa na upungufu mwingi, lakini alichokisema kuhusu posho tujihoji kina ukweli gani? Hilo ndilo la msingi. Alichotakiwa Ndugai ni kufafanua uhalali wa posho na sio kusema aliyetoa hoja hiyo, hana usafi wa kuhoji." Katika kuonesha kukerwa na kauli ya Ndugai, kiongozi huyo wa kiroho alikemea kauli za baadhi ya wanasiasa kutotaka kukosolewa hata pale wanapofanya makosa na kutaka watu waachwe waseme ukweli bila kuzibwa midomo wala kubezwa. "Watu waachwe waseme kweli wasibezwe. Kwamba naye (Sumaye) alijiongezea posho, hilo ni jambo lingine ambalo kama anataka (Ndugai), alianzishe mjadala watu wajadili. Lakini sasa tunazungumzia suala la posho za wabunge ambazo sote zinatukera,"alisema Kilaini. Kwa mujibu wa Askofu Kilaini, si sahihi mtu kujadili hoja aliyoanzisha mtu kwa kuangalia udhaifu wa mtoa hoja. "Hakuna hoja ya msingi katika kumshambulia mtu anayetoa hoja kwa kutumia udhaifu wake, kwani ukweli utaendelea kuwa ukweli na udhaifu wa mtu ni jambo lingine." Askofu Kilaini alisema: "Nataka watu wajue kwamba hakuna mtakatifu hapa, wote tuna udhaifu, lakini kama mwenzetu kasema ukweli tujadili hoja yake kwa moyo mkunjufu na sio kumpuuza kwa sababu tu eti aliyeongea ana upungufu fulani." Aliongeza; "Ndugai lazima asome alama za nyakati. Huu sio wakati wa kutetea posho kwani hakuna atakayemwelewa. Watanzania wa matabaka yote wamezipinga sasa yeye akianza kuzitetea atabaki peke yake." Wanasheria Kauli hiyo ya Askofu Kilaini, iliungwa mkono na baadhi ya wanasheria waliozungumzia hoja hiyo jana ambao kwa nyakati tofauti walisema kitendo cha Ndugai kuponda maoni ya Sumaye, kimeonyesha kuwa si mtu makini. Wakili wa kujitegemea, Lupia Augusto alihoji kama Ndungai alikuwepo bungeni wakati sheria ya kupandisha posho za viongozi wastaafu zilizomwezesha Sumaye kujiandalia uzee mwema, kwanini hakupinga. "Iweje aje na hoja hiyo leo?"alihoji. Augusto alisema tabia aliyoionyesha Ndugai inatakiwa kutafsiriwa kama hakujua majukumu ya ubunge wake wa kuhoji na badala yake, alijua itamnufaisha.Alifafanua kwamba kitendo alichokifanya Ndugai ni ishara kwamba maoni yake yamekumbatia kujinufaisha na sio kunufaisha wananchi. Alisema Ndugai ameanika udhaifu wake kwani hakuna rekodi zinazoonyesha kwamba alipinga hoja ya kupitisha posho ilipoletwa wakati Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu.Augusto alisema kuna kila dalili kwamba kuna mambo mengi yanayofanywa kwa siri kwa maslahi ya wachache na kwamba wanapopingana ndipo mambo hayo hujitokeza wazi. “Wananchi wajiulize alifanya nini kupinga, maana hapa anaazisha malumbano yasiyokuwa na tija baada ya watu kupinga posho ambazo wabunge wamejipandishia bila kuweka uzalendo mbele,”alisema Awakera wananchi Baadhi ya wananchi nao wameeleza kukerwa na kauli ya Ndugai dhidi ya Sumaye na kwamba ni mbinu za kuwatisha viongozi wastaafu wasitetee maslai ya Umma. Mkazi wa Dar es Salaam, Kimazi Totera alisema Ndugai anatumia Bunge kama sehemu ya kutetea matakwa yake binafsi kwa kuziua kauli za viongozi wastaafu pale wanapotetea maslai ya Umma. Fatma Haji alisema Ndugai ana siri kubwa kutokana na kuyajua mazingira ya uongozi ya awamu ya tatu kwa kudai Sumaye alijiwekea sheria ya viongozi wa juu wastaafu kulipwa asilimia 80 ya mshahara. “Yeye kama kiongozi alikuwa wapi kupinga sheria ya viongozi hawa kulipwa kiwango hicho cha pesa ina maana naye ana chuki binafsi, tungemwelewa kama angesema mapema,”alisema Fatma. Alichosema Sumaye Jana alipotakiwa kuzungumzia hoja za Ndugai jana, Sumaye alisema," No comment," nataka kusoma na kuelewa vizuri alichokisema kwa hiyo unitafute kesho (leo)." Kilichoamsha hasira za Ndugai ni kauli ya Sumaye alioyoitoa kupitia kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha ITV, kwamba ongezeko la posho za wabunge linaweza kuchochea makundi mengine kudai kama Wanajeshi, Polisi, Mahakama na walimu nao kutaka nyongeza, hivyo kumweka Rais katika wakati mgumu kufanya uamuzi. “Mwanasiasa mzuri akifanya jambo akiona limewaudhi wananchi anatakiwa aliache, lakini pia kwenye hili huu mkanganyiko wa Spika na Katibu wake na huu ukimya wa Ikulu ni tatizo, tungependa waseme ili umma ujue hali ikoje,” alisema Sumaye. Alisema hatua ya Bunge kujipandishia posho ya kikao kutoka 70,000 hadi 200,000 kwa siku haliingii akilini na kwamba, inakiuka utaratibu uliowekwa na serikali katika kulipa gharama kwa maofisa wake ikiwa ni pamoja na gharama hizo za fedha za kujikimu. “Siyo kwamba napinga posho, wabunge wanastahili posho, lakini kwa kweli kujiongezea kutoka 70,000 hadi 200,000 siyo sahihi,” alisema Sumaye. Alisema wakati yeye alipoteuliwa na Rais Benjamin Mkapa kwa awamu ya pili kushika wadhifa wa Waziri Mkuu, aligoma kwa sababu alikuwa amekwaruzana na wabunge kuhusu nyongeza ya posho. “Nilimwambia wabunge watanikataa kwa sababu nimegombana nao sana juu ya suala la posho lakini akasema lazima uwe na mimi ndipo nikakubali, lazima hili suala liangaliwe mara mbilimbili…, leo wabunge mmejiongezea kesho jeshi, polisi na walimu nao watataka, tutafanyaje tusifanye mambo ambayo yatamuweka Rais pabaya,” alisema Sumaye. Alisema posho ni jambo ambalo kwa sasa limekuwa tatizo kwa serikali na kwamba imefika wakati ofisi za serikali zimehamia hotelini, lengo likiwa ni watumishi wa umma kutafuta mwanya wa kulipana posho. “Ndiyo maana watu wa TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania) wanakusanya fedha nyingi lakini ni fedha kidogo sana zinakwenda kwenye huduma za jamii, nadhani hili ni tatizo na ni utawala mbaya kabisa, lazima kuwepo mabadiliko kama kweli tunataka kuisafisha nchi yetu,” alisema Sumaye Habari hii imeandaliwa na Daniel Rutoryo, Keneth Goliama, Freddy Azzah